Monday, April 8, 2013

FACEBOOK CHATTING------- 4

MWANDISHI: NYEMO CHILONGANI.

MAHALI: DAR ES SALAAM.

SIMU: 0718 069 269




MSICHANA: Tayari.
MIMI: Safi sana. Itegeshe mike ya Hearphone yako karibu na mdomo. Ipe mikono yako uhuru. Wakati mwingine, unaweza kufumba macho. Itulize akili yako kabisa, achana na kufikiri mambo mengine. Isikilize sauti yangu kwa makini, nitakwenda kuongea maneno mengi, yanayotakiwa kufanya na wewe, fanya kama nitakavyokwambia. Hakikisha umelala chali. Umesikia mpenzi.
MSICHANA: (Huku sauti yake ikianza kubadilika na kuwa ya chini) Sawa.
MIMI: Tunakwenda kuanza mchezo huu. Mchezo huu utaanzia mwilini mwako, nitakwenda kuitembelea kila sehemu yako ya mwili. Kumbuka kwamba mikono yako ndio mimi kwa sasa. Hakuna maswali, tulia na niache nifanye kazi yangu.
MSICHANA: Sawa mpenzi.
MIMI: Tunakwenda kuanza mchezo wetu. Tunaanzia kifuani kushuka chini.
MSICHANA; Sawa.

Kuanzia hapo, mchezo ulivyochezwa hautoweza kuelezwa sana kwa sababu ya matumizi ya facebook kutumiwa hadi na watoto walio chini ya miaka 18. Usiulize maswali wala usibishe. Kuna watoto wengi huku mtaani kwetu ambao ni marafiki zangu na wote wanaisoma post hii. Sitoelezea sana mchezo huu kwani sitotaka kuiharibu saikolojia yao, ufahamu nilio nao kwenye mchezo huu acha ubaki kuwa wangu tu, sitaki kuibiwa maujuzi kabisa. Kila mtu anatakiwa kuucheza mchezo huu kwa kutumia ujuzi wake na si kuiba ujuzi kutoka kwangu kwani unaweza kumuua hata binti wa watu na kuniletea matatizo.

NB: Watoto wengi, sehemu hiyo inakatishwa kidogo na wala haitoelezewa kwa kina.


Mchezo uliendelea zaidi na zaidi, kila wakati nilikuwa namsikia akipumua kwa nguvu huku akilalamikalalamika. Bado nilikuwa nikiendelea kama kawaida. Dakika kumi zikapita, niliendelea kuongea nae, dakika ishirini zikapita, nusu saa na hadi saa moja, bado alikuwa akilalamikalalamika tu.

MSICHANA: Stooooooooooopppppp (Aliitoa sauti yake kimahaba)
MIMI: Nini tena?
MSICHANA: Stooooooopppp mpenzi. Aaaaggggghhhhh! Naomba nipumzike.
MIMI: Mbona unaomba kupumzika tena na wakati bado masaa kama matatu hivi?
MSICHANA: Utaniua. Nimeshindwa kujizuia mpenzi.
MIMI: Poleeeee
MSICHANA: Asante. Ngoja nikaoge kwanza.
MIMI: Vipi tena?
MSICHANA: Umenichafua.
MIMI: Hahahaha! Nimekuchafua au umejichafua?
MSICHANA: Umenichafua. Haukumbuki ulisema uwe mikono yangu?
MIMI: Ok! Nimekuelewa. Ukitoka huko naomba ulale. Mimi mwenyewe nimejichafua pia. Nakwenda kuoga, sitokuwa na nguvu ya kuendelea. Acha nilale kwanza mpaka kesho. Usiku mwema.
MSICHANA: Nawe mpia mpenzi (Bado sauti yake ilikuwa ikisikika kimahaba)

Nikabaki nikicheka sana, sikuamini kama msichana yule hakutaka kuendelea kuucheza mchezo ule na wakati ndio kwanza tulikuwa tumetumia dakika sitini tu. Nikaenda kuoga na kisha kurudi kitandani. Sikutaka kuwasha simu yangu kwani nilijua kwa namna moja au nyingine angenitafuta tu.
Kesho, nikaanza kuelekea chuoni. Akili yangu nikaituliza huku ikionekana kama kutokukumbuka kitu chote kilichotokea. Saa tano na nusu nikawasha simu yangu na kukutana na meseji zake tano.

MSICHANA: *Usiku wa jana umekuwa usiku wa kukumbuka sana kwangu.
*Nilikuwa nikilalamika mpaka mama akasikia na kuamua kuja chumbani kwangu. Sijui amejua nilichokuwa nimekifanya kwani asubuhi alikuwa akiniangalia kwa jicho la wasiwasi sana.
* Kama mchezo wenyewe upo vile, sijui itakuwaje. Unaonekana kuwa mchezo mzuri lakini uliojaa hatari.
* Ingawa niliwahi kuucheza mchezo ule lakini jana ilikuwa balaa. Yaani kama ni mpira basi nimekutana na timu inayokimbiza muda wote.
* Mbona upo kimya mpenzi? Naomba ukizipokea meseji hizi nijibu chochote ili niwe na furaha. Leo sijaenda shule kabisa kwa kuogopa kutokuelewa darasani. Nimesingizia naumwa. Yote kwa ajili yako. Nakupenda mpenzi. Nakupenda My Only Nyemo.

Nilibaki nikicheka sana. Msichana ambaye ilikuwa imepita siku moja tu tangu tuanze uhusiano wa kimapenzi alikuwa amechanganyikiwa sana. Mahusiano yetu yakawa yamechangamka sana kana kwamba yalikuwa yameanza miezi sita iliyopita.

MIMI: Usijali mpenzi. Mchezo ule unahitaji sana maandalizi. Wengi wanashindwa kuucheza kwa sababu tu huwa wanakurupuka. Mimi kama mimi huwa ninakwenda hatua kwa hatua mpaka mwisho. Najiamini, ninafanya kazi zangu kwa uhakika mpenzi.
MSICHANA: Una tabia mbaya sana. Mbona haukunijibu toka asubuhi nilipokutumia meseji zile?
MIMI: Nilikuwa darasani baby. Hadi hapa bado nipo darasani.
MSICHANA: Umejifunza wapi mchezo ule?
MIMI: Nyumbani.
MSICHANA: Mmmh! Una hatari wewe!
MIMI: Hatari ya nini tena?
MSICHANA: Ungeweza kuniua last night. Yaani kuna kipindi nilikuwa naona viungo vyote vikiishiwa nguvu.
MIMI: Poleeeee
MSICHANA: Asante mpenzi.
MIMI: Naomba leo tucheze tena.
MSICHANA: Sitaki. Sitaki tena kucheza, utaniua jamani. Jana nilikuwa nahema juu juu kama nakata roho vile.
MIMI: Polee sana. Ila ndio ukubwa huo.
MSICHANA: Au ulitaka kunitoa usichana wangu?
MIMI: Kwani unao?
MSICHANA: Ndio
MIMI: Mmmh! Kweli hatari. Unanishangaza sana.
MSICHANA: Kwa nini?
MIMI: Ulidumu na mpenzi wako kwa muda gani?
MSICHANA: Kwa miaka miwili.
MIMI: Hamkufanya kitu chochote kile?
MSICHANA: Ndio.
MIMI: Alikuwa na chembechembe za ushoga nini?
MSICHANA: Hahahaha! Kwa nini unasema hivyo?
MIMI: Inawezekana. Miaka miwili halafu kimya. Haiwezekani, kuna jambo hapo nyuma ya pazia.
MSICHANA: Inawezekana.
MIMI: Hivi una miaka mingapi?
MSICHANA: Kumi na nane.
MIMI: Hahahaha! Unafaa kuliwa wewe. Umeshaiva mpenzi. Inabidi nikutungue kutoka mtini. Umeiva vizuri kabisa.
MSICHANA: Hahahaha! Una maneno wewe
MIMI: Hayo ndio maneno tunayopenda kuyatumia huku kwetu. Miaka kumi na nane mkubwa sana, tena sana. Kama ungekuwa huku kwetu ungekuwa unatafutiwa mume.
MSICHANA: Ningekuwa natafutiwa mume?
MIMI: Ndio. Tungekuwa tunakula pilau sasa hivi.
MSICHANA: Hahahaha! Sawa bwana. Ila inakubidi uwe na shabaha ya kulitungua tunda lililoiva.
MIMI: Shabaha ninayo tena kubwa sana. Nikiona kama nakukosa, nitakupandia uko uko mtini. Hahahaha!
MSICHANA: Una visa sana Mpenzi.
MIMI: Usijali. Lecturer anaingia. Kama vipi tutaendelea kuchati baadae.
MSICHANA: Poa. Nakupenda mpenzi.
MIMI: Nakupenda pia.

Msichana yule alionekana kuwa msumbufu sana, muda wote alikuwa akinitumia meseji za mapenzi lakini sikumjibu hata moja, muda wote nilikuwa nikimfuatilia lecturer alivyokuwa akifundisha. Muda wa kutoka ulipofika, sikutaka kumshtua, nikarudi nyumbani na kujilaza kitandani.

MIMI: Nipo nyumbani.
MSICHANA: Namshukuru Mungu umerudi nyumbani salama. Kuna kitu nilikuwa nakifikiria mpenzi.
MIMI: Kitu gani?
MSICHANA: Unaonaje tukionana somewhere?
MIMI: Lini?
MSICHANA: kesho.
MIMI: Haitowezekana kabisa.
MSICHANA: Kwa nini mpenzi?
MIMI: Labda tufanye weekend.
MSICHANA: Okey! Ila naomba tuonane mpenzi.
MIMI: Usijali.

Baada ya hapo, mawasiliano yalikuwa yakiendelea kila siku, alitamani sana kuonana nami lakini nilikuwa bize sana mpaka pale ilipofika weekeend ambapo tulipanga sehemu ya kukutania.

MIMI: Umesema wapi?
MSICHANA: Slipway.
MIMI: Du! Sipajui bwana.
MSICHANA: Acha kunitania mpenzi. Ila usijali, nitakuelekeza.
MIMI: Poa.

Baada ya hapo akaanza kunielekeza. Si kwamba nilikuwa sipajui kweli Slipway ila kwa wakati huu nilikuwa nikitaka kucheza na akili yake tu. Nilitaka afahamu kwamba mimi nilikuwa mtoto wa uswahilini na hata sehemu nyingi za kuenjoy hasa za watu waliokuwa na uwezo fulani nilikuwa sina uhitaji wa kupafahamu.
Nikafikiria kwa haraka haraka, sehemu ile ilikuwa haiendeki kwa daladala hivyo kama ningependa daladala ya Msasani na kwenda huko, ungekuwa mwendo mrefu kidogo. Sikuonekana kujali, kukutana na msichana wangu ndicho kitu pekee ambacho nilikuwa nikikihitaji.
Asubuhi ya Jumamosi tukaanza kuchati kwa sms hata kabla hatujaonana.



Itaendelea

No comments:

Post a Comment

Recent Posts