Friday, July 8, 2011

wiki moja kabla ya UE.

  ni wiki moja sasa kabla ya wanachuo wa chuo wa chuo hiki cha amucta kuanza kufanya mitihan yao ya mwisho wa mwaka wa masomo. mitihani hiyo itaanza hapo ijumaa ya wiki ijayo ambapo kwa mujibu wa wanachuo hao  ni kwamba kila kitu kipo tayari na wanacho subiri ni paper tu. pia wanadai hawamwogopi tena yule mtunzi hatari NAMILEMBE.

No comments:

Post a Comment

Recent Posts