Wednesday, July 13, 2011

leo kusaini PH 102

wanafunzi WA amucta LEO TUTASAINI MACHAGIJA SAA 9 mchana. kwa taarifa za uhakika kutoka ndani ya ofisi ya makamu mkuu huyu wa chuo zinasema kuwa hali imechukua muda mrefu zaidi kufanyika kutokana na kuchelewa kusahihisha na hii inatokana na kuwa pekee yake katika.ktika idara hii hiyo ya falsafa.

No comments:

Post a Comment

Recent Posts