Wednesday, July 6, 2011

AJA yaja amucta

  Na amucta team,
  
katika hali ya kutoa uhuru wa  habari hapa amucta, kimeanzishwa chama cha waandishi wa habari wa AMUCTA chama hicho ambacho kilizinduliwa juzi na katibu mkuu wawizara ya  habari, sayansi na teknolojia mh. NYANDA SYLVERY, katika uzinduzi huo chama hicho kilwachagua viongozi wao wa rasmi wa mwaka huu na viongozi hao walikuwa kama ifuatavyo
                     JACKSON MESHACK---- mwenyekiti
                     KIMOMWE  MARTHA--- katibu
                     ELIFURAHA JOHN ------- mharirimkuu
                     KALIMA  SALUM--------- mhariri msaidizi.
baada ya kupatikana uongozi huo, mwenyekiti aliyechaguliwa kushika nafasi mh. Meshack aliwataka wanachama wote wa chama hicho kushirikiana na kuaandaa jarida la mfano kwa mwaka huu. pia walikubaliana kuwa jarida hili litoke kabla ya watu kwenda field, pia walikubaliana kuwa jumamosi hii wakutane kuwasilisha habari walizo ziandaa ili zihaririwe na kuchapwa kwaajili kutoa jarida. chama hicho vha waandishi wa habari hapa AMUCTA kinaitwa AMUCTA JOURNALISTS ASSOCIATION (AJA)

kama wanahabari tunawakaribisha AJA kwenye tasnia ya habari.

No comments:

Post a Comment

Recent Posts