Wednesday, July 13, 2011

raisi ahutubiwa, wizara za pondwa

raisi wa serikali ya AUCTASO bw. DAUD BONIPHACE MBASA. alihutubiwa ijumaa iliyopita katika ukumbi wa masomo ( LECTURE HALL 1) hata hivyo katika hotuba yake rais huyo alisoma na kueleza baadhi ya mafanikio na changamoto iliyokutana nayo serikali yake katika kipindi cha kwanza cha uongozi wake.
          wakati alipo amliza kuhutubia aliruhusu maswali mbalimbali kutoka kwa wanachuo. na kwa utaratibu huo ndipo wanachuo walipopata muda wa kuanza kuzungumzia mabo muhimu yanayoihusu serikali na wizara zake. pia wanachuo hao waliwaponda wabunge wao kuwa ni watu ambao wapo kama mawaziri badala ya kutetea maslahi ya wanachuio wenzao. hata hivyo ahiyo haikuishia hapo pia wanachuo waliponda mfumo wa serikali nzima jinsi ulivyo ya kuwa haupo kwaajili ya maslahi ya wanachuo bali upande wa walimu. kama hiyo haitoshi baadhi ya wizara zilionekana kutokufanya kazi kabisa katika kipindi chote cha uongozi huu kwa awamu ya kwananza. pia mawaziri walikumbushwa kujituma kwa nguvu kwaajili ya kuwatetea wanachuo na sio administration. pia baadhi ya waanchuo walilalamikia itendo ya baadhi ya mawaziri kutokufahamika hapa chuoni na kutokuwa na umuhimu kabisa .
           Sisi kama wana AMUCTASO hatutachapisha hewani wizara ambazo zinalaumiwa

No comments:

Post a Comment

Recent Posts