Friday, July 1, 2011

mwisho wa NAMILEMBE LEO BAED B

yule mwalimu anayeogopwa na wanafunzi wengi hapa AMUCTA yaani madam NAMILEMBE raia wa Uganda leo anahitimisha module zake hapo lecture hall 1. wakizungumza kwa nyakati tofauti na blog hii pendwa ya wana AMUCTA, wanafunzi wa BAED B walisema yakuwa imekuwa heri ya kwake yeye kumaliza module maana amekuwa akiwakimbiza saana wanafunzi wa hapa. pia hawakusuita kumsifia kwa kuwa anafundisha vizuri japo kuwa ni mkali wa kutunga mitihani yake nja amekuwa mgumu kwa wnfunzi kwa kusainia wanafunzi waliochelewa kusaini. kila la heri madam NAMILEMBE  kwa kutufundisha vizuri na pia WELCOME NEXT ACADEMIC YEAR  if possible

No comments:

Post a Comment

Recent Posts